Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Handeni mkoani Tanga Ramadhani Diliwa akifungua mkutano wa kamati ya ukimwi wilayani humo alipokuwa mgeni rasmi huku akieleza kuwa maambukizi hayo yanaweza kuepukika kwa kuacha tabia za mchepuko kwa pande zote mbili na kuwa waaminifu katika ndoa na kuepuka vishawishi ambapo asilimia kubwa ya maambukizi hayo wilayani humo yameelezwa ni kutokana na kuwepo kwa vitendo vya ngono zisizo salama . |
No comments:
Post a Comment