Pichani ni Katibu wa Umoja wa wanawake (UWT)Korogwe Mjini,Suzana Mandia akitoa maelezo mpango mkakati uliopo katika maandalizi ya uzinduzi wa kampeni kuwanadi wagombea wa CCM ili kuwezesha kupata kura za kishindo,alitoa kauli hiyo katika zoezi la kufanya usafi uwanja wa sokoni uliopo kata ya Manundu. wilaya ya Korogwe mkoa wa Tanga.
No comments:
Post a Comment