Wednesday, 27 August 2025

NJAMA ACHUKUA FOMU TUME YA UCHAGUZI INEC,,,

Msafara ,,Wananchi na wafanyabiashara wa bajaji na pikipiki wamsindikiza mgombea wa CCM kiti cha Ubunge jimbo la Korogwe mjini kuchukua fomu.

Msafara ukipita kata zote za jimbo la Korogwe mjini.
Picha katikati ni Mgombea kiti cha Ubunge jimbo la Korogwe Mjini,Charles Njama akionyesha fomu ya uteuzi baada ya kukabidhiwa katika ofisi ya Tume Huru ya Taifa ya uchaguzi (INEC) Jimbo la Korogwe mjini mkoani Tanga.  

 











No comments:

Post a Comment