Friday 8 August 2014

Kati kati ambaye ameshika kipaza sauti wa pili mkono wa kulia ni meya wa halmashauri ya jiji la Tanga,Omari Guledi akitoa ufafanuzi kwenye kikao maalum cha madiwani,mwanamke aliyevaa nguo za kitenge kulia kwake ni mkurugenzi,kushoto kwake ni naibu meya,akifuatiwa na mbunge wa jimbo hilo kupitia (CCM) na mbunge viti maalum (CUF) Amina Mwidau ambaye amevaa tambaa cha piki.

No comments:

Post a Comment