Tuesday 21 February 2017

MKURUGENZI WA TAASISI YA TAYODEA WEKEZA AKIKABIDHI VIFAA MBALIMBALI KWA VIJANA AMBAO NI WANACHAMA ILI KUJIKWAMUA KIUCHUMI,,

Mkurugenzi wa taasisi isiyo ya kiserikal TAYODEA,Devid Chanyegea akizungumzia mafanikio na lengo la kutoa vifaa mbalimbali kwa vijana ili waweze kujikwamua,,na maisha ikiwemo vyarahani.
 Mkurugenzi wa TAYODEA Devid akitoa taarifa kwa mkuu wa wilaya ya muheza kwa niaba ya mkuu wa mkoa wa Tanga,Martine Shigela kabla ya makabiziano ya vitendea kazi vya vijana ambao ni wanachama wa taasisi hiyo.


 Makabidhiano ya vitendea kazi vya vijana yalikuwa hivi,,



 Katikati ni mkurugenzi wa taasisi ya TAYODEA,Devid Chanyegea akitoa maelezo kwa mgeni rasmi juu vifaa vyenye dhamani ya million 150 kwa ajili ya kununua vitendea kazi vya vijana ambao ni wanachama wa asasi hiyo.


 Ambaye amevaa shati la kijani ni makamu mwenyekiti wa asasi ya TAYODEA,Kiama



 Mkurugenzi akitoa maelezo lengo la kuanzishwa kwa Asasi hiyo ya TAYODEA WEKEZA
 Miongoni mwa vifaa vilivyotolewa na TAYODEA kwa vijana.


 Mgeni rasmi akishauri asasi hiyo kujikita kwa kupanua wigo wa kutoa elimu kupambana na madawa ya kulevya kwa kada hiyo ya vijana kupitia shirika lao.
Mkurugenzi wa TAYODEA,Devid amesema licha ya shirika kukabiliwa na changamoto mbalimbali katika kuwainua vijana kiuchumi limejipanga kutoa elimu zaidi kwa vijana ambao hawajakuwa na utayari wa kujiunga katika wilaya mbalimba.

No comments:

Post a Comment