Diwani kata ya Ndolwa wilayani Handeni Joel Mabula ambaye pia ni mwenyekiti wa kamati ya huduma za jamii ambazo ni elimu,afya,maji na maendeleo ya jamii ambapo alielezea baadhi ya changamoto mbalimbali zinazo wakabili wananchi ikiwemo masuala ya uhaba wa vituo vya afya na upatikanaji wa madawa. |
No comments:
Post a Comment