Timu ya soka ya wanasheria wa mkoa wa tanga wakiwa kwenye picha ya pamoja kabla ya mchezo wao dhidi ya timu ya mahakama ya Tanga.
Kikosi cha mahakama za mkoa wa Tanga wakiwa kwenye picha ya pamoja ambacho kilishuka dimbani.
Baadhi ya wachezaji wa timu ya Netball ya mahakama ya wilaya ya Tanga ambao waliwafunga mahakama kuu ya Tanga kwa magoli 8-1,katika bonanza hilo.
Wachezaji baadhi wa timu ya Netball ya Mahakama kuu ambao wakiwa kwenye picha ya pamoja siku ya bonanza la kuikaribisha siku ya mahakama mkoani Tanga ambao walitoka kwa matokeo ya kichapo cha magoli 8-1,
Mchezaji wa timu ya Mawakili Erick Akaro mara baada ya kupasha kujiandaa na mchezo wa kuwakabili Mahakama ambao ulizaa matunda walitoka kifua mbele kwa kuwafunga wapinzani wao Mahakama kwa goli 1-0.
Pichani mkono wa kulia ni mgeni rasmi Jaji mfawidhi wa mahakama kuu mkoa wa Tanga,Projest Rugazio siku ya bonanza la michezo akiikagua timu ya Mawakili wa mkoa wa Tanga katika uwanja wa Popatlaly.
Picha mkono wa kushoto mwanaume ni Jaji mfawidhi wa Mahakama kuu mkoa wa Tanga,Projest Rugazia akiikagua timu ya Netball ya Mahakama kuu Tanga kabla ya kuanza bonanza hilo.
No comments:
Post a Comment