Thursday 16 November 2017

MSEMAJI WA TIMU YA MPIRA WA MIGUU WANAWAKE MKOANI TANGA FAIR PLAY QUEENS AMESEMA HANA SHAKA NA KIKOSI CHAKE,,

 Pichani ni msemaji wa timu ya mpira wa miguu mkoa wa Tanga FAIR PLAY QUEENS ,Sophia Wakati juzi akizungumza na waandishi wa habari (hawako pichani) juu ya maandalizi ya kujiwinda na ligi ya taifa ya wanawake kwenye uwanja wa soka Disuza inapo endelea na mazoezi ya kila siku.

Ambapo amesema kocha wa timu hiyo,Kuha Idd amezifanyia kazi safu zote muhimu ikiwemo za ufungaji na ushambuliaji lengo kufanya vizuri na kwenye mashindano hayo.
Pichani ni kikosi cha  FAIR PLAY QUEENSkikiwa kwenye picha ya pamoja mara baada ya mazoezi uwanja wa Disuza jijini Tanga..

 Pichani ni kipa namba moja wa timu ya FAIR PLAY QUEENS
Pichani ni kapteni wa timu hiyo,Asha Shabani maarufu Kadosho

No comments:

Post a Comment