Wednesday, 2 July 2025

MJUMBE MKUTANO MKUU CCM TAIFA,ASIA KINGONGO AMEJITOKEZA KUCHUKUWA NA KURUDISHA FOMU KUWANIA KITI CHA UDIWANI KWAMNDOLWA,,


 

Pichani mkono wa kulia mwanamke ni Mjumbe mkutano mkuu taifa,Mjumbe kamati ya wazazi utekelezaji Mkoa wa Tanga na katibu mwenezi tawi la Kwameta na katibu wa vijana kata ya Kwamndolwa,Asia Ally Kingongo akichukua fomu ya kuwania nafasi ya Udiwani kata ya Kwamndolwa kwa Katibu kata  ya Kwamndolwa iliyopo Korogwe Mjini,Samweli Mbuguje mkono wa kushoto ambaye ni mwanaume.

Picha ni Mjumbe mkutano mkuu CCM taifa,Mjumbe kamati ya wazazi utekelezaji Mkoa wa Tanga na katibu mwenezi wa CCM tawi la Kwameta na katibu wa vijana kata ya Kwamndolwa,Asia Ally Kingongo akichukua fomu ya kuwania nafasi ya Udiwani kata ya Kwamndolwa akionyesha fomu mara baada ya kuchukua nje ya ofisi ya CCM tawi la Kwameta.

Pichani ni Katibu kata  ya Kwamndolwa,Samweli Mbuguje mkono wa kushoto ambaye ni mwanaume.akikagua fomu ya Mjumbe wa mkutano mkuu taifa,Mjumbe kamati ya wazazi utekelezaji Mkoa wa Tanga na katibu Mwenezi CCM tawi la Kwameta na katibu wa vijana kata ya Kwamndolwa,Asia Ally Kingongo alichukua fomu na kurudisha ya kuwania nafasi ya kiti cha Udiwani kata ya Kwamndolwa


Pichani ni Mjumbe wa mkutano Mkuu CCM taifa,Mjumbe kamati ya wazazi Utekelezaji Mkoa wa Tanga na katibu Mwenezi CCM tawi la Kwameta na katibu wa vijana kata ya Kwamndolwa,Asia Ally Kingongo Mara baada ya kuchukua fomu na kurudisha ya kuwania nafasi ya kiti cha Udiwani kata ya Kwamndolwa akiwa na familia yake.

No comments:

Post a Comment