Wednesday, 2 July 2025

ZOEZI LA MTANGAZAJI WA REDIO UHURU,REHEMA LUSEWA KUCHUKUA NA KURUDISHA FOMU KUWANIA KITI CHA UDIWANI VITI MAALUM ILIKUWA HIVI,,,


Picha mkono wa kulia ni Mjumbe wa baraza la UWT Korogwe Mji na Mtangazaji nguli wa ITV na Uhuru redio ya chama cha Mapinduzi CCM,Rehema Lusewa akichukua fomu ya kuwania nafasi ya Udiwani viti maalum Korogwe mjini kwa Katibu wa UWT Korogwe mjini,Suzan Mandia (mkono wa kulia). 


Picha mkono wa kulia ni Mjumbe wa baraza la UWT Korogwe Mji na Mtangazaji nguli wa ITV na Uhuru redio ya chama cha Mapinduzi CCM,Rehema Lusewa akirudisha fomu ya kuwania nafasi ya Udiwani viti maalum Korogwe mjini kwa Katibu wa UWT Korogwe mjini,Suzan Mandia (mkono wa kulia). 

Picha mkono wa kulia ni Mjumbe wa baraza la UWT Korogwe Mjini na Mtangazaji nguli wa ITV na Uhuru redio ya chama cha Mapinduzi CCM,Rehema Lusewa akisaini mara baada ya kurudisha.






No comments:

Post a Comment