Sunday, 29 June 2025

ZOEZI LA KUCHUKUA FOMU LILIKUWA HIVI,,,AMINA MAGOGO AJITOKEZA KUWANIA NAFASI YA UBUNGE JIMBO LA KOROGWE VIJIJINI,,

Picha mkono wa kulia ni Amina Magogo akipokea fomu ya Mgombea nafasi ya Ubunge Jimbo la Korogwe vijijini kwa Karibu wa CCM Korogwe vijijini,Safina Alfred Nchinbi mkono wa kushoto leo katika ofisis za chama hicho.
 
 Picha ni Amina Magogo mara baada ya kuchukua fomu ya Mgombea nafasi ya Ubunge Jimbo la Korogwe vijijini akiionyesha kwa wasindikizaji nje mara baada ya kuchukua. 











Picha ni Amina Magogo mara baada ya kuchukua fomu ya Mgombea nafasi ya Ubunge Jimbo la Korogwe vijijini akiwa kwenye picha ya pamoja na wasindikizaji wake. 



Picha ni Amina Magogo mara baada ya kuchukua fomu ya Mgombea nafasi ya Ubunge Jimbo la Korogwe vijijini akieleza amejipanga kuwatumikia wananchi wa Korogwe vijijini nje ya ofisi za CCM baada ya kuchukua. 



No comments:

Post a Comment